Klabu ya simba inatarajia kukosa huduma ya kiungo mshambuliaji wao raia wa senegal Pape Ousman Sakho baada ya kutua nchini Ufaransa kwa ajili ya kumaliza taratibu zake za usajili na Quevilly Metropelo Fc timu inayoshiriki katika daraja la pili nchini humo.
No comments:
Post a Comment