Privacy policy
Updated at 2023-12-21
Tat ("we," "our or "us") is committed to
protecting your privacy. This Privacy Policy
explains how your personal information is
collected, used, and disclosed by Tat.
This Privacy Policy applies to our website,
htp://yangavideo.blogspot.com/2023/01/tod-
10ya-waigizajiwarembo-zaidi.html, and
its associated subdomains (collectively,
our "Service"). By accessing or using our
Service, you signify that you have read,
understood, and agree to our collection,
storage, use, and disclosure of your
personal information as described in this
Privacy Policy and our Terms of Service.
Definitions and key
terms
To help explain things as clearly as
possible in this Privacy Policy, every time
any of these terms are referenced, are
strictly defined as:
or are under contract to perform a service on behalf of one of the parties.
any information that directly, indirectly, or in connection with other information — including a personal identification number — allows for the identification or identifiability of a natural person.
refers to the service provided by
as described in the relative terms (if available) and on this platform.
Third-party service:
refers to advertisers, contest sponsors, promotional and marketing partners, and others who provide our content or whose products or services we think may interest you.
Website:
Tat
’s site, which can be accessed via this URL:
http://yangavideo.blogspot.com/2023/01/top-10-ya-waigizaji-warembo-zaidi.html.
MTENDA HUTENDWA
WANANCHIIII!!!! MWAMBA HUYU HAPA💛💚.
AS VITA KUMINYANA NA YANGA
WAPI HATIMA YA MBAPE
SAKHO KUKIPIGA UFARANSA
ATATANGAZWA LEO?
KIPA KUTAMBULISHWA
SAFARI UTAMBURISHO WA JEZI YAANZA
KARIBU YANGA 🟢🟡✅
Mshery kupelekwa Tunisia
KIPA wa Yanga, Abuutwalib Mshery yupo nje kutokana na jeraha la goti, lakini mabosi wa klabu hiyo wamepanga kumpeleka Tunisia ili kufanyiwa upasuaji na kuruhusu areje mapema uwanjani.Mshery aliumia goti hali iliyowafanya mabosi wa Yanga kwenye dirisha dogo la usajili kumrejesha kwa mkopo Metacha Mnata kutoka Singida Big Stars ili kuziba nafasi yake na Mwanaspoti limedokezwa kwamba kipa huyo yupo mbioni kuondoka kwenda Tunisia kwa matibabu zaidi.
Inaelezwa Mshery atapelekwa hospitali aliyofanyiwa upasuaji Yacouba Songne na Kibwana Shomary ambao walirejea mapema uwanjani na Daktari wa timu hiyo, Youssef Ammar ili kuthibitisha taarifa hizo alikiri kuwa na mpango wa Mshery kupata matibabu nje ya nchi.
"Kweli atafanyiwa matibabu yake nje ya nchi kule Tunisia wakati timu ikiwa inaenda kucheza mechi yake dhidi ya US Monastir," alisema kwa kifupi Ammar.
Yanga itaondoka nchini Jumanne ijayo kwa ajili ya kuwahi mchezo wa kundi D wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya US Monastir ya Tunisia utakaochezwa Februari 12 kisha ikirejea nchini itakuwa na mchezo dhidi ya TP Mazembe na baadae kuifuata Real Bamako ya Mali.
Kipa huyo alisaini mkataba wa miaka mitatu kuitumikia Yanga baada ya kufanya vizuri akiwa na kikosi cha Mtibwa Sugar.
Simba, Al Hilal hakuna mbabe
MABINGWA wa Sudan Klabu ya Al Hilal wamelazimishwa sare ya bao 1-1 dhidi ya Simba katika mchezo mkali wa kirafiki wa Kimataifa uliochezwa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam.
Al Hilal ilikuwa ya kwanza kupata bao kupitia kwa nyota wake, Makabi Lilepo dakika ya sita tu ya mchezo huku Habib Kyombo akaiandikia Simba bao la kusawazisha dakika ya 81 kipindi cha pili.
Al Hilal iliwasili nchini Jumatatu ya Januari 25 kwa mwaliko maalumu wa Simba ikiwa ni sehemu ya makubaliano ya kimkataba baina ya timu hizo zinazojiandaa na Ligi ya Mabingwa Barani Afrika.
Mchezo wake wa kwanza tangu ilipowasili ililazimishwa sare ya bao 1-1 na Namungo FC Januari 26, katika mechi iliyokuwa kali na ya kusisimua iliyochezwa kwenye Uwanja wa Azam Complex Chamazi.
Baada ya hapo Al Hilal iliibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Azam FC katika mchezo wake wa pili wa kirafiki uliochezwa Januari 31 Uwanja wa Azam Complex Chamazi jijini Dar es Salaam.
Miamba hii ya Sudan inakumbukwa zaidi na Watanzania kwani ndio timu iliyoiondosha Yanga katika Ligi ya Mabingwa Afrika kufuatia kuifunga jumla ya mabao 2-1 kwenye hatua ya pili ya mtoano.
Baada ya mchezo huu Simba itasafiri hadi nchini Guinea kuanza safari yake ya matumaini katika hatua za makundi za Ligi ya Mabingwa Afrika kwa kucheza na Horoya, mechi itakayochezwa Februari 11.
Kwa upande wa Al Hilal nao wanakabiliwa na kibarua kizito Februari 11 wakati watakapoanza pia safari ya hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika kwa kucheza na Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini.
Simba iko kundi C sawa na timu za Raja Casablanca (Morocco), Horoya (Guinea) na Vipers ya Uganda huku Al Hilal iko kundi B na Al Ahly (Misri), Mamelodi Sundown (Afrika Kusini) na Coton Sport ya Cameroon.
Gael, Yanga ngoma mbichi
KIUNGO Mrundi Gael Bigirmana ameikalia kooni Yanga akitaka impe barua ya kuondoka na kumlipa mamilioni ya pesa baada ya kile alichodai kukiukwa kwa vipengele vya mkataba.
Sakata la mchezaji huyo lilianza usajili wa dirisha dogo ulilofungwa Januari 15, mwaka huu, ambapo Yanga ilimnyofoa Ligi Kuu na nafasi yake kumpa beki Mmali Mamadou Doumbia na kutimiza majina 12 ya mastaa wa kigeni.
Hata hivyo, Yanga ilimbakisha Gael kwenye usajili wa CAF, jambo ambalo kwa mujibu wa mmoja ya vigogo wa timu hiyo (jina tunalo), bado ni mchezaji wao kwani nyota huyo wa zamani wa Newcastle United ya Ligi Kuu England alisaini mkataba wa miaka miwili mwanzoni mwa msimu huu.
Suala hilo lilimlazimu Wakala wa Gael, Costantine Mutima kutoka England anakoishi kuja kuongea na viongozi wa Yanga akitaka maelezo ya kina lakini hadi sasa hakuna kilichoeleweka.
Mutima alizungumza na Rais wa timu hiyo, Hersi Said na Mtendaji Mkuu, Andrew Mtine ili kumaliza jambo hilo lakini inaelezwa mazungumzo hayakuwa na majibu ya moja kwa moja baada ya wakala huyo kutaka Yanga imlipe Gael asepe zake.
Inaelezwa Yanga iliendelea kutotoa ushirikiano wa kutosha kwa wakala huyo aliyekuwa amepanga kuondoka nchini na mchezaji wake mwanzoni mwa wiki hii, ndipo akaamua kuandika barua TFF akitaka uthibitisho wa usajili wa Gael kisha afuate hatua za kisheria ikiwemo kwenda Fifa.
Mwanaspoti linajua Gael ameingiziwa mshahara wa Januari na Yanga na bado yupo nchini akitarajia kuondoka siku yoyote kuanzia Jumatatu ijayo.
Mutima alipotafutwa kuzungumzia sakata hilo alisema Yanga haijampa jibu la moja kwa moja na muda unaenda kwani mteja wake hana furaha kikosini hapo.
“Ni kweli tumewaandikia TFF tukitaka watupe uthibitisho wa usajili na baada ya hapo tutafuata hatua nyingine za kisheria,” alisema.
Matola atumiwa nauli aingia mitini

MOJA ya makocha chipukizi wazawa ambao wanaaminika kuwa ni bora kwenye soka la Tanzania kwa sasa basi ni kocha msaidizi wa Simba Suleiman Matola ambaye amefanya mambo makubwa kadhaa kwenye soka la Tanzania.
Matola ambaye aliweka baadhi ya rekodi akiwa na Lipuli ya Iringa sehemu ambayo alitambulika sana, lakini pia akawa na Polisi Tanzania na kufanya tena mambo makubwa akiwa na Simba, siyo jina geni sana baada ya kukaa pia kwenye kikosi cha Simba kwa muda mrefu.
Amepitia mambo mengi akiwa na Simba, kuna wakati ameonja joto ya jiwe kutoka kwa mashabiki, kuna wakati ameshangiliwa na mashabiki haohao, hawa ndiyo watu wa soka, lakini katika maisha ya soka, Matola ana mambo mengi ambayo wengi hawayajui kwa kuwa siyo muongeaji sana na mara nyingi imekuwa ikielezwa kuwa ni mtu msiri sana kuhusu maisha yake ya nyuma ya soka.