SAFARI UTAMBURISHO WA JEZI YAANZA

Meneja wa Habari na Mawasiliano klabu ya Simba Ahmed Ally ataongoza msafara wa maafisa wa klabu hiyo pamoja na Mdhamini wa jezi Sandaland The Only One kupanda mlinda Kilimanjaro kwa ajili ya uzinduzi wa jezi za klabu ya Simba 2023/24

Safari ya kupanda mlinda Kilimanjaro itaanza kesho Jumatano na msafara huo utafika kileleni siku ya Ijumaa, na kufanya uzinduzi wa jezi majira ya saa 1 usiku

Ahmed amesema tukio la Simba kuzindua jezi juu ya mlima Kilimanjaro lina baraka ya Mamlaka zote na Dunia nzima itashuhudia

No comments:

Post a Comment