MTENDA HUTENDWA


 
    ⚽Klabu ya Westham United 🔨 inahaha kutafuta mrithi wa kiungo wao ghali aliyetimkia kwa majirani zao wa jiji la London Arsenal kwa uhamisho wa paund 105£ Decline rice.
  >>Ambapo wagonga nyundo hao wamepeleka ofa kwa Mashetani wekundu👺 wenye maskani yao Old traford yenye thamani ya paund 35£ na ongezeko la 5£ ili kuinasa saini ya kiungo Scott Mctominay lakini wababe hao wa old traford wameendela kushikilia bomba kwa kusisitiza kua kiungo wao huyo raia wa scotland hauzi chini ya £45.

No comments:

Post a Comment