AS VITA KUMINYANA NA YANGA



Klabu ya As vita ya nchini DRC congo imejikita kambi nchini Tanzania kwa maandalizi ya msimu ujao wa mashindano wa 2023/24 nchini kwao Congo huku timu hiyo ikitarajiwa kucheza mechi ya kirafiki dhidi ya mabigwa wa NBC Premier league Young Africans.

No comments:

Post a Comment